CHALENJI
CUP, leo yameanza huko Nairobi, Kenya kwa Mechi mbili za Kundi A ambapo
Zanzibar ilianza vyema kwa kuifunga South Sudan Bao 2-1 na Wenyeji Kenya kutoka Sare 0-0 na Ethiopia.
Mechi zote hizo zilichezwa Uwanja wa Nyayo Jijini Nairobi na ilitangulia ile ya Zanzibar na South Sudan ambapo Zanzibar waliifunga South Sudan 2-1.
Mabao ya Zanzibar yalifungwa na kiungo wa Coastal Union ya Tanga, Suleiman Kassim ‘Selembe’ katika Dakika ya 5 na Adeyoum Saleh Ahmed kwenye Dakika ya 65.
Bao la Sudan Kusini lilifungwa na Fabiano Lako katika Dakika ya 67.
VIKOSI:
Zanzibar: Abdallah Rashid, Salum Khamis, Waziri Salum, Shaffi Hassan, Mohamed Fakhi, Sabri Ali, Masoud Ali, Suleiman Kassim, Awadh Juma, Amour Omar, Khamis Mcha
South Sudan: Juma Jinaro, Atar Thomas, Philip Delfino, Edomon Amadeo, Richard Justin, Wiiam Offiri, Jimmy Erasto, Thomas Jacob, Godfrey Peter, Francis Khamis, James Joseph.
SHARE HII NA TOA MAONI YAKO
Mechi zote hizo zilichezwa Uwanja wa Nyayo Jijini Nairobi na ilitangulia ile ya Zanzibar na South Sudan ambapo Zanzibar waliifunga South Sudan 2-1.
Mabao ya Zanzibar yalifungwa na kiungo wa Coastal Union ya Tanga, Suleiman Kassim ‘Selembe’ katika Dakika ya 5 na Adeyoum Saleh Ahmed kwenye Dakika ya 65.
Bao la Sudan Kusini lilifungwa na Fabiano Lako katika Dakika ya 67.
VIKOSI:
Zanzibar: Abdallah Rashid, Salum Khamis, Waziri Salum, Shaffi Hassan, Mohamed Fakhi, Sabri Ali, Masoud Ali, Suleiman Kassim, Awadh Juma, Amour Omar, Khamis Mcha
South Sudan: Juma Jinaro, Atar Thomas, Philip Delfino, Edomon Amadeo, Richard Justin, Wiiam Offiri, Jimmy Erasto, Thomas Jacob, Godfrey Peter, Francis Khamis, James Joseph.
SHARE HII NA TOA MAONI YAKO
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni