Alhamisi, 21 Novemba 2013

BREAKING NEWS!!! HUKUMU YA KAJALA NOVEMBA 25 MWAKA HUU....MUMEWE AKATA RUFAA




Kajala Masanja.
Msanii wa filamu Kajala Masanja atahukumiwa upya Novemba 25 mwaka huu, baada ya mumewe kukata rufaa. Hukumu ya rufaa ilibidi isomwe leo katika Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam lakini imeahirishwa baada ya Jaji aliyetakiwa kusoma hukumu hiyo kupata hudhuru!

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni